Walioghushi vyeti kutupwa jela miaka saba, JPM akabidhiwa ripoti





 Waziri wa Utumishi, Angela Kairuki 

 Waziri wa Utumishi, Angela Kairuki amemkabidhi Rais John Magufuli  majina ya watumishi wenye vyeti feki huku akieleza kuwa waliobainika kughushi vyeti watahukumiwa kifungo cha miaka saba jela kulingana na kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2016.
Kairuki amesema sheria hizo pia zinawaweka hatiani mawakala wote wanaotumika kutengeneza vyeti feki.
Amesema kanuni za utumishi wa umma za 2016, zinaeleza kuwa muombaji wa nafasi za ajira serikalini akitoa taarifa za uongo atachukuliwa hatua za kijinai na kinidhamu.

Mshirikishe Mwenzako: www.zakacheka.blogspot.com

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: