Showing posts with label news. Show all posts
Showing posts with label news. Show all posts

Wanaume Waliokaidi wito wa Makonda kukamatwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amesema wanaume wote waliokaidi wito wa kufika ofsini kwake baada ya kupigiwa sim...
Soma zaidi

Rais JP Magufuli kuzindua tawi la NMB na Jengo la PSPF

Siku ya Jumatatu, Aprili 23, Rais John Magufuli  atazindua jengo la Mfuko wa Pensheni wa PSPF na tawi jipya la Benki ya NMB lililopo Mtaa...
Soma zaidi

Sababu za Jeshi la Polisi kutolinda maandamano

BUNGE limeelezwa kuwa Jeshi la Polisi halina muda wa kulinda taasisi au chombo chochote kitakachotaka kufanya mikutano au maandama...
Soma zaidi

RC Makonda kuwapima wanamume saratani ya tezi dume nyumba kwa nyumba

Wakati chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi kwa wasichana wote wenye umri wa miaka 14 ikitarajiwa kuanza kutolewa Jumatatu Aprili 23, ...
Soma zaidi

Magufuli asema umma unapotoshwa kuhusu kupotea fedha ripoti ya CAG

Mjadala kuhusu kupotea kwa fedha nchini Tanzania umechukua sura mpya baada ya Rais wa Tanzania Dokta John Magufuli kuwasimamisha mkaguzi ...
Soma zaidi

Viwanda visivyofanya kazi kurejeshwa serikalini

Serikali imeunda timu ya kufanya mapitio katika viwanda vya serikali vilivyobinafsishwa ambavyo havifanyi kazi, ili virejeshwe ser...
Soma zaidi

Waandamanaji wasitisha ziara ya Rais

Rais wa Afrika Kusini , Cyril Ramaphosa, amekatisha ziara yake alipokuwa kwenye mkutano wa jumuiya ya madola nchini Uingereza ili kukabil...
Soma zaidi

Trump asema atajiondoa katika mazungumzo na Kim Jong-un iwapo hayana matunda

Rais wa Marekani Donald Trump anasema kuwa iwapo mazungumzo yake na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong un hayazai matunda 'atainuka...
Soma zaidi