Rais Trump aunga mkono umiliki wa bunduki Marekani


  • 29 Aprili 2017
Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa taifa hilo kuhutubia muungano wa wanaharakati wa uhuru wa kumiliki bunduki, NRA na kuunga mkono umiliki wa silaha hiyo
Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa taifa hilo kuhutubia muungano wa wanaharakati wa uhuru wa kumiliki bunduki, NRA na kuunga mkono umiliki wa silaha hiyo
Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa taifa hilo kuhutubia muungano wa wanaharakati wa uhuru wa kumiliki bunduki, NRA, baada ya kipindi cha zaidi ya miaka 30.
Akiongea hapo jana, mkesha wa siku zake mia moja madarakani, rais Trump ameahidi kuunga mkono na kulinda haki ya umiliki wa bunduki.
Huku mamia ya wanaharakati hao wakishangilia, rais Trump amewaahidi kwamba atakuwa mshirika wao mkuu katika ikulu ya White house.
Bwana Trump amesifu mafanikio yake uongozini katika kipindi cha siku 100 za kwanza kwa kusema kwamba ametekeleza mengi.
Hapo jana, rais Trump alitia saini agizo la urais ambalo huenda likapisha uchimbaji wa mafuta na gesi katika maeneo ya Arctic.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: