Waziri mkuu nchini DRC ajiuzulu



Waziri mkuu nchini DRC ajiuzulu

Samy Badibanga
  •  
Hii inafuatia hotuba ya hapo jana kutoka na Rais Joseph Kabila, ambapo aliwaambia wabunge kuwa atamteua waziri mkuu kutoka upinzani ndani ya saa 48 zinazokuja.
Bwana Kabila alisema kuwa atafuata tararibu zilizoafikiwa kama sehemu ya makubaliano na upinzani ambayo yanataka uchaguzi kuandaliwa kabla ya mwisho wa mwaka huu.
Kumekuwa na msukosuko nchini DRC baada ya Kabila kukataa kundoka madarakani wakati muhula wake ulipokamilika mwezi Disemba.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: