Vyama vya siasa vyaruhusiwa kujihesabia kura Kenya

Vyama vya siasa vyaruhusiwa kujihesabia kura Kenya

  • 6 Aprili 2017
Vyama vya siasa vyaruhusiwa kujihesabia kura KenyaHaki miliki ya picha   
Tume ya uchaguzi nchini Kenya imekubali kuruhusu vyama vya kisiasa kujihesabia kura kwenye uchaguzi mkuu ambao utafanyika tarehe 8 mwezi Agosti mwaka huu.
Hata hivyo tume hiyo ilisema kuwa ndiyo ina ruhusa ya kutangaza matokeo ya mwisho.
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga alizua wasi wasi mwishoni mwa wiki baada ya kuwaambia wafuasi wake kuwa muungano wa upinzani wa Nasa, utabuni kituo chake cha kuhesabu kura na kutangaza matokeo ya uchaguzi huo.
Viongozi wa upinzani wanasema kuwa kuwepo kituo hicho itasaidia kuzuia udanganyifu kwenye uchaguzi.
Rais Uhuru Kenyatta anawania uchaguzi kwenye muhula wa pili na anatarajia kuukabili mungano wa vyama vikuu vya upinzani.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: