Takriban watu 9 wanahofiwa kufa maji visiwani Zanzibar

Takriban watu 9 wanahofiwa kufa maji visiwani Zanzibar

  • 5 Aprili 2017

Haki miliki ya pichaTakriban watu 9 wanahofiwa kufa maji visiwani ZanzibarGOOGLE
Image captionTakriban watu 9 wanahofiwa kufa maji visiwani Zanzibar

Watu 9 hawajulikani waliko huku 44 waliokolewa baada ya mashua yao ya uvuvi kuzama nje ya pwani ya kisiwa cha Zanzibar.
Makarani Mohamed, ambaye ni kaimu mkurugenzi ya kitengo cha ujajususi aliambi BBC kuwa shughuli ya kutafuta na kuwaokoa watu bado inaendelea.
"Tunafahamu, kuwa ajali hiyo ilisababishwa na upepo na mawimbi makali yaliyosababisha mashua hiyo kuzama.Alisema.
Manusura mmoja waliwaambia waokoaji kuwa takriban watu 53 waliondoka kuenda kuvua samaki jana jioni wakati bahari ilikuwa tulivu.
Lakiki hali ya hewa ilibadilika na kusababisha mawimbi makali ya bahari.
Alisema kuwa hajawaona wenzake tangu ajali hiyo itokee.
Uvuvi ni shughuli kubwa ya kiuchumi katika kisiwa cha Zanzibar lakina mashua nyingi huwa zimechakaa hali ambayo husababisha ajali nyingi.

Manusura mmoja waliwaambia waokoaji kuwa takriban watu 53 waliondoka kuenda kuvua samaki jana jioni wakati bahari ilikuwa tulivu.Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionManusura mmoja waliwaambia waokoaji kuwa takriban watu 53 waliondoka kuenda kuvua samaki jana jioni wakati bahari ilikuwa tulivu.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: