Raia wa Marekani akamatwa Korea Kaskazini


 7 Mei 2017
            Kim Hak-song ndiye raia wa nne wa Marekani kukamatwa nchini Korea Kaskazini.Haki miliki ya p

Korea Kaskazini inasema kuwa imemkamata raia wa Marekani kwa kushukiwa kuendesha vitendo viovu dhidi ya taifa hilo.
Kim Hak-song, alikuwa akifanya kazi katika chuo cha sayansi na Teknolojia cha Pyongyang PUST na alikamatwa jana JumamosiKim Hak-song, alikuwa akifanya kazi katika chuo cha sayansi na Teknolojia cha Pyongyang PUSTHaki miliki ya picha
Raia wengine watatu wa Marekani kwa sasa wanazuiliwa nchini Korea Kaskazini akiwemo Kim Sang-duck, ambaye alikuwa mhadhiri katika chuo cha PUST
Awali Marekani iliilaumu Korea Kaskazini kwa kuwakamata raia wake kuwatumia kwa udhamini.


Kukamatwa mtu huyo kunakuja huku kukishuhudiwa msukosuko kati ya Korea Kaskazini na Marekani.
Korea Kaskazini imetisha kufanya majaribio ya kombora la nuklia huku Marekani nayo ikituma meli ya kivita eneo hilo kuizuia Korea Kaskazini kuunda zana za nuklia.
Kim Hak-song ndiye raia wa nne wa Marekani kukamatwa nchini Korea Kaskazini.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: