Kim Jong-un azuru kiwanda cha bidhaa za Urembo Pyongyang

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM
30 0KTOBA 2017
Kim Jong Un holds a hairspray can
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ametembelea kiwanda ya bidhaa za urembo mjini Pyongyan akiandamana na mke wake Ri Sol-ju na dada yake Kim Yo-jing.
Vyombo vya habari vilichapisha picha za ziara hiyo siku ya Jumapili.
Kuoneka hadharani kwa Kim Yo-jong, kunakuja muda mfupi baada ya kupandishwa cheo ndani serikali ya Korea Kaskazini.
Bidhaa za urembo kutoka nchi za kigeni zimekuwa adimu nchini Korea Kaskani kutokana na vikwazo.
Kim Jong Un smiles toward electronic device in newly renovated facility with senior officials and his wife in the backgroundHaki miliki ya pichaKCNA VIA AFP
Image captionKim Jong-un azuru kiwanda cha bidhaa za Urembo Pyongyang
Korea Kaskazini inaonekana kujenga sekta yake ya bidhaa za urembo ambapo bidhaa kama Bomhyanggi na Unhasu vimepata umaarufu.
Licha ya umaarufu wake wa kupigwa picha akiwa katika vituo vya kijeshi na maeneo ya kufanyia majiribio makombora, ziara ya Kim katika kiwanda cha bidhaa za urembo ni moja ya propaganda ya kuhalalisha utawake wake kwa watu wa Korea Kaskazini.
Kim Jong Un holds clear liquid samples in bottles at factory visitHaki miliki ya pichaKCNA VIA REUTERS
Image captionKim Jong-un azuru kiwanda cha bidhaa za Urembo Pyongyang
Ziara hiyo "ni ya kuonyesha kuwa Korea Kaskazini inaweza kuwatunza watu wake na kuleta maendeleo kwa kiwango sawa na cha China na Korea Kusini," mdadisi wa masuala ya Korea Kaskazini Ankit Panda aliiambia BBC.
"Licha ya sisi kujua kuwa sio ukweli, ni muhimu kwa utawaka huo kuonyesha watu wake kuwa unaweza kuwapa bidhaa wanazozihitaji,"
Wakati wa ziara hiyo , Kim alikisifu kiwanda hicho kwa kuzalisha bidha za kiwango cha kimataifa, kwa mujibu wa shirika la habari la serikali la KCNA.
Kim Jong Un smiles near a pink-branded selection of cosmeticsHaki miliki ya pichaKCNA VIA REUTERS
Image captio
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: