Mlango wa ndege iliyokuwa angani waangukia nyumba India

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM
The door weighed more than 20kgs
Uzito wa mlango huo ni zaidi ya Kg 20

Familia moja nchini India imepigwa na mshangao baada ya mlango wa ndege kuangukia nyumba yao katika mji ulio kusini mwa India wa Hyderabad.
Mwanamume ambaye alikuwa akipaka paa la nyumba rangi aliponea baada ya kwenda kupata chakula cha mchana wakati kisa hicho kilipotokea,
Polisi aliiambia BBC kuwa ndege hiyo ya kubeba abiria wanne ambayo ni ya kutoa mafunzo ilikuwa ikiruka chini chini
Aliongoza kuwa rabani na mwanafunzi wake wako salama na uchunguzi umeanza kubaini ni vipi kisa hicho kilitokea.
Insepkta wa Polisi Karan Kumar Singh alisema kuwa ni kawaida kuona ndege zikiruka chini chini eneo hilo.
Rubani na mwanafuzi wake waliponea mwezi Septemba wakati ndege kama hiyo ilipoanguka katika eneo hio.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: