Kesi ya mtuhumiwa mauaji ya kimbari yahamishiwa Dar




Innocent Sagahutu

 Mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda Innocent Sagahutu amepelekwa makao makuu ya uhamiaji mkoani Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano.
Sagahutu alikamatwa hivi karibuni eneo la mpaka wilayani  Ngara alipokuwa akielekea Burundi.
Akizungumzia tukio hilo, Ofisa Uhamiaji mkoa wa Kagera Abdallah Tiwo alisema mtuhumiwa huyo amepelekwa makao makuu kwa ajili ya uchunguzi.  
"Ni kweli alikuwa anashikiliwa na uhamiaji mkoa wa Kagera,ila kwa sasa anaelekea Dar es salaam makao makuu ya uhamiaji." alisema


Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: