Tovuti ya Wikipedia yafungwa nchini Uturuki.

  • 29 Aprili 2017

Tovuti ya Wikipeadia iliofungwa nchini Uturuki
Tovuti ya Wikipeadia iliofungwa nchini Uturuki

Uturuki imefunga tovuti ya maelezo ya Wikipedia nchini humo.
Waliojaribu kufikia mtandao wamepata ujumbe kwamba seva yake haifanyi kazi.
Idara ya mawasiliano imesema kwamba hatua mwafaka imechukuliwa kutatua tatizo hilo, japo haikutoa sababu yoyote ya mtandao huo kufungwa.
Tovuti zingine zinafanya kazi kama kawaida.
Uturuki imekuwa ikifunga mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Twitter wakati wa maandamano makubwa ama mashambulizi ya kigaidi.

www.zakacheka.blogspot.com
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: