India kufungua daraja refu mpakani na China


26 Mei 2017

India kufungua daraja refu mpakani na India
India kufungua daraja refu mpakani na India
Haki milik
India itazindua daraja lenye urefu wa kilomita 9.15 linalopitia juu ya mto Lohit ,likiwa ndio refu zaidi nchini humo ambalo litaunganisha jimbo lenye utata la Arunachal Pradesh na kaskazini mashariki mwa jimbo la Tibet.
China hivi majuzi ilipinga mpango wa kumruhusu kiongozi wa kidini wa Tibet Dalai Lama kutembelea taifa hilo na pia imepinga utengenezaji wa miundo msingi ya kijeshi katika eneo hilo.
Lakini India imetetea haki yake ya kufanya hivyo.
''Huku China ikiendelea na ubishi huo ni wakati tunafaa kuimarisha miundo misingi yetu ili kutetea eneo letu'' ,alisema waziri wa mdogo wa maswala ya ndani nchini humo Khiren Rijiju ambaye ni mkazi wa Arunachal Pradesh .
Bwana Rajiju awali alikuwa amesema kuwa Arunachal Pradesh ni eneo la India na kwamba ukweli hautabadilika ''wapende wasipende''.
Ujenzi wa daraja hilo la la Dhola Sadiya ulianza mwaka 2011.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: