Watu 33 wafariki kwenye ajali ya treni DRC

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM
Radio ya umoja wa mataifa nchini DRC imesema takriban watu 33 wamefariki katika ajali ya treni.
Ajali hiyo imetokea katika mji wa Buyofwe Kusini mwa jimbo la Lualaba.
Taarifa kutoka Radio Okapi zinasema treni hiyo ilianguka kisha kuwaka moto.
Gavana wa jimbo la Lualaba Richard Muyej ameiambia BBC kwamba kuna ajali iliyotokea lakini haifahamiki ni watu wangapi waliofariki.
Tuma habari picha WhatsApp 0625966236
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: