Baba mkwe wa El Chapo Guzman afungwa miaka 10


  • 29 Aprili 2017
Baba mkwe wa El Chapo Guzman ahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa kuingiza mihadarati Marekani
Baba mkwe wa El Chapo Guzman ahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa kuingiza mihadarati Marekani
Baba mkwe wa mlanguzi mkubwa wa dawa za kulevya , Joaquin Guzman, amehukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani kwa kupenyeza bangi nchini Marekani.
Ines Coronel Barreras alipatikana na makosa katika mahakama moja ya Mexico, baada ya polisi kutwaa magari silaha na zaidi ya kilo 250 za bangi.
Marekani ilimwekea vikwazo miaka minne iliyopita, na kusema kwamba ni mojawepo wa vigogo wa genge la Sinaloa.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: