Viumbe wakosekana katika anga za juu



Kiumbe wa anga za juu
Kiumbe wa anga za juu
Wataalamu wa masuala ya sayansi wanaotafuta maisha katika anga za juu watahitajika kusubiri zaidi
Mradi huo wa gharama ya dola milioni 100 wa kutafuta dalili za viumbe wa anga za juu bado haujapata chochote mwaka mmoja baada ya kuzinduliwa.
Shughuli hiyo inafanywa kwa kutumia darubini kubwa ambayo inasikiza dalili yoyote ya kuwepo viumbe vya angani.
Wanasayansi walitoa visa 11 ambavyo vilitarajiwa kuonyesha dalili za maisha angani lakini tena wakaamua kuwa vilitoka kwa binadamu.
Prof Stephen Hawking anasema kuwa huenda kuna maisha katika anga za juu
Prof Stephen Hawking anasema kuwa huenda kuna maisha katika anga za juu
Mradi huo ni wa miaka kumi unaoungwa mkono na watu kama Prof Stephen Hawking.
Darubini hizo zina uwezo wa kutafuta dalili za kuwepo teknolojia ambayo iliundwa na viumbe vilivyo nje ya sayari ya dunia.
Darubini hii iliyo West Virginia, Marekani ni moja ya darubini zenye nguvu zaidi duniani
Darubini hii iliyo West Virginia, Marekani ni moja ya darubini zenye nguvu zaidi duniani
Mwaka uliopita mradi huo ulifuatilia nyota kwa jina Tabby ambayo ilikuwa na tabia iliyosababisha watu wafakiri kuwa ikuwa na maisha.
Hata hivyo iligundulwia kwa hali hiyo ilisababishwa na nyota wengine walichangia nyota hiyo kuwa na halili kama hizo.
Kiumbe kama huyu anatafutwa
Kiumbe kama huyu anatafutwa
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: