Marekani yaishambulia na kuiangusha ndege isiyo na rubani nchini Syria



21 Juni 2017

An F-15 Eagle jet (file image)
Ndege ya F-15 Eagle ikirusha kombora


Ndege ya jeshi la Marekani imeangusha ndege isiyo na rubani inayoendeshwa na serikali ya Syria kusini mwa nchi.
Ndege hiyo isiyo na rubani ilidaiwa kuwa na silaha na ilikuwa hatari kwa jeshi la Marekani ardhini.
Iliangushwa karibu na eneo la Tanf.
Hiki ni kisa cha karibuni kabisa katika anga ya Syria, baada ya Marekani kuangusha ndege ya kivita ya Syria siku ya Jumapili na ndege nyingine isiyo na rubani mapema mwezi huu.

A Shahed 129 drone
Ndege ya Iran isiyo na rubani

Haki miliki ya p
Kuangushwa kwa ndege hiyo inaongeza msukosuko uliopo eneo hilo.
Katika taarifa nyingine jeshi la Marekani lilitangaza rasmi kuwa lilimuua kiongozi wa cheo cha ju wa kundi la Islamic State Turki al-Binali, wakati wa shambulizi lililofanywa na ndege nchini Syria Mwezi uliopita.

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: