Polisi Australia washika bunduki ya utawala wa Nazi



19 Juni 2017

Polisi Australia washika bunduki ya utawala wa Nazi
Polisi Australia washika bunduki ya utawala wa Nazi
Polisi nchini Australia wameshika bunduki ya vita vikuu ya pili ya dunia wakati wa oparesheni kaskazini mwa mji wa Sydney.
Polisi walisaka gari eneo la New South Wales siku ya Jumapili na kupata bunduki hiyo aina ya MP40
Bunduki hiyo ilitengenezwa na utawala wa Nazi nchini Ujerumani ambapo karibu bunduki zaidi ya milioni moja zilitengenezwa wakati huo.
Mwanamume moja wa miaka 40 ambaye alikuwa ni abiria ndani ya gari hilo alishtakwa kwa kumiliki silaha iliyopigwa marufuku.
Australia imeweka sheria kali kwa umiliki wa bundukia. Bunduki ni lazima isajiliwe nakuitumia mtu lazima awe na leseni.
Lakini inakadiriwa kuwa karibu bunduli 260,000 zisizo na vibali ziko nchini Australia.

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: