Mtoto aliyezaliwa ndani ya ndege atunukiwa safari za bure maishani



19 Juni 2017


Mtoto aliyezaliwa ndani ya ndege atunukiwa safari za bure maishani
Mtoto aliyezaliwa ndani ya ndege atunukiwa safari za bure maishani
Shirika moja la ndege la kibinafsi nchini India limemtuku safari za bure mtoto aliyezaliwa ndani ya moja ya ndege zake, iliyokuwa safarini kutoka Saudi Arabia kuelekea nchini India.
Mhudumu mmoja wa ndege, ambaye alikuwa amepata mafunzo ya uuguzi alimsaidia mama kujifungua mtoto umbali ya futi 35,000 angani.
Mama na mtoto wake walipelekwa hospitalini baada ya ndege ya Boeng 737 kutua katika mji wa magharibi wa Mumbai.
Shirika hilo liliiambia shirika la habari la BBC kuwa mama na mtoto wake walikuwa katika afya nzuri.
Kampuni iliwashukuru wahudumu kwa kumsadia mama kujifungua salama.
Shirika hilo lililisema kuwa ndiyo mara ya kwanza mtoto kuzaliwa kwenye ndege yake.
Lakini mashirika kadhaa yamekumbanana hali kama hiyo. Wahudumua wa shirika la ndege la uturuki wallisherehekea kuzaliwa kwa mtoto msichana ndani ya ndege mwezi Aprili mwaka huu.

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: