Kiongozi wa upinzani Zambia alalamikia mazingira mabaya gerezani



20 Julai 2017

Hakainde Hichilema alikamatwa baada ya msafara wake kukataa kuupisha ule wa rais
Hakainde Hichilema alikamatwa baada ya msafara wake kukataa kuupisha ule wa rais
Kiongozi wa upinzani nchini Zambia aliye korokoroni Hakainde Hichilema, amefikisha siku 100 gerazani tangu akamatwe akilalamikia mazingira mabaya yaliyo gerezani.
Alikamatwa baada ya msafara wake kukataa kuupisha ule wa rais
Anakabiliwa na mashtaka uhaini kufuatia kisa hicho.
Bwana Hichilema ambaye kwa sasa anazuiliwa katika gereza lenye ulinzi mkali, aliandika kwenye mtandao wake wa Facebook kuwa hana chuki na yeyote
Alisema mapenzi yake ni kuona mabadilko nchini Zambia.
"Tunaamini kuwa licha ya wafungwa hawa kufanya makosa, wanahitaji kuhudumiwa kwa njia ya kibinadamu," alisema hichilema.

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: