Miili ya wanajeshi wa Uganda waliouawa Somalia yawasili nyumbani

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM

2 Agosti 2017


Miili ya wanajeshi wa uganda yawasili nyumbani

Miili ya wanajeshi wa uganda yawasili nyumbani
Miili ya wanajeshi 12 wa Uganda waliouawa nchini Somalia siku ya Jumapili imesafirishwa nyumbani.
Shere ya kijeshi ilifanyika wakati miili hiyo iliwasili uwanja wa ndege wa Entebbe.
Familia zilifika na wengine walikuwa na husuni wakati ndege ilitua uwanjani.
Wanajeshi wa Uganda huchukua asilimia kubwa ya kikosi cha Amisom kinachoiunga mkono serikali ya Somalia katika vita dhidi ya al-Shabab.
Hao ndio wanajeshi wengi zaidi wa Uganda kuuliwa nchini Somalia tangu mwaka 2015 wakati wanajeshi 19 waliuliwa wakati wa shambulizi la al-Shabab.
NIJUZE HABARI KWA 0625 966 236
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: