WANAOHAMA TOKA KOREA KASKAZINI - KOREA KUSINI WAPUNGUA

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM

17 Sep 2017


Idadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapungua
Idadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapungua

Korea Kusini inasema kuwa idadi ya watu walio ihama Korea Kaskanizi imepungua kwa zaidi ya asilimia 10 mwaka huu.
Shirika la habari la serikali lilisema kuwa wizara ya kuwainganisha watu ya Korea Kusini, ilirekodi jumla ya watu 780 raia wa Korea Kakskazini waliowasili kati ya mwezi Januari na Agosti mwaka huu.
Korea Kaskania na China wanaaminiwa kuongeza ulinzi zaidi katika mpaka na kufanya vigumu kwa wale wanaohama kuvuka mpaka.
Zaidi ya nusu kati ya wale waliohama Korea Kaskazini mwaka huu ni wakulima, wafanyakazi wanaoaminiwa kukimbia umaskini huku asilimia tatu wakiwa ni wanajeshi na maajenti wa serikali.
Idadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapungua
Idadi ya wanaohama Korea Kaskazini wakienda Korea Kusini yapungua
HakMada zinazohusiana
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: