Ndege ya Urusi iliyotoweka yapatikana chini ya bahari Norway

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM
30 Oktoba 2017
A 2011 photo of the Russian Mi-8 helicopter at Barentsburg
Picha ya mwaka 2011 ya ndege ya Mi-8 helicopter ikiwa Barentsburg

Norway inasema kuwa kundi la watafutaji limepata mabaki ya ndege ya Urusi aina ya helikopta, ambayo ilianguka baharini ikiwa na watu 8 ndani yake.
Ndege hiyo ambayo haikuwa haijulikani iliko tangu Alhamisi, kwa sasa iko chini ya bahari karibu na eneo la Barentsburg, kwa mujibu wa maafisa.
Polisi nchini Norway sasa wanaweza kuwatafuta wale waliokuwa ndani ya ndege hiyo, taarifa hiyo ilisema.
map
Image captionRamani
Ofisi ya Urusi huko Barentsburg inasema kuwa wahudumu watano na wanasayansi watatu, walikuwa ndani ya ndege hiyo wote raia wa Urusi na kuna hofu kuwa wamefariki.
Ilikuwa katika safari fupi kutoka Pyramiden kwenda Barentsburg eneo la madini la Urusi.
Pyramiden, 19 Jul 15Haki miliki ya pichaAFP
Image captionEneo la madini la Urusi la Pyramiden
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: