Mamia ya wafuasi wa IS wakamatwa Uturuki

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM
30 Oktoba 2017
Polisi wa Uturuki wakiwa katika mazishi ya mmoja wa polisi mwenzo aliyeuawa na IS mwezi Agosti
Polisi nchini Uturuki imewakamata mamia ya watu wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa kikundi cha wanamgambo wa IS.
Raia wawili wa Azerbaijan na wengine 28 wa Syria, ni miongoni mwa waliokamatwa katika mji wa Mashariki wa Erzurum na mji wa Bursa uliopo Kaskazini Magharibi.
Wengine walikamatwa katika mji mkuu Ankara siku ya Jumamosi.
Mpiganaji wa IS aliwaua watu 39 katika ukumbu mmoja wa usiku uitwao Reina mjini Istanbul, na tukio hilo bado limeacha simanzi kubwa.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: