Marekani kugharamia mtambo wa kujikinga Korea Kusini

  • 30 Aprili 2017


Marekani kugharamia mtambo ya kujikinga Korea KusiniH
Marekani kugharamia mtambo wa kujikinga Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa Marekani imekubali kulipa dola bilioni moja za kujenga kinga ya dhidi ya makombora ya Korea Kaskazini.
Awali rais Trump alikuwa amesema Korea kusini itagharamia ujenzi huo.
Maafikiano hayo yanajiri baada ya washauri wa maswala ya usalama wa mataifa hayo mawili kuzungumza kwa njia ya simu.
Ngao hiyo maalum ambayo inajengwa kwa sasa inalenga kudungua makombora yote yanayofyatuliwa kutoka Korea kaskazini.
Marekani imekubali kufadhili mradi huo kifedha huku korea kusini ikitakiwa kutoa ardhi.


Namna mfumo wa ulinzi wa THAAD unavyofanya kazi
Image captionNamna mfumo wa ulinzi wa THAAD unavyofanya kazi


 Mshirikishe Mwenzako: zakacheka.blogspot.com +255 625966236

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: