Mwanzilishi wa Facebook aitembelea kwa ghafla familia moja Ohio

  • 30 Aprili 2017

Mwanzilishi wa Facebook aitembelea kwa ghafla familia moja Ohio
Mwanzilishi wa Facebook aitembelea kwa ghafla familia moja Ohio

Familia moja nchini Marekani imeeleza ilivyohisi wakati ilipata taarifa kwamba mwanzilishi wa mtandao wa kijamii wa Facebook Mark Zuckerberg angewatembelea kwa chakula cha jioni.
Familia hiyo ya Moore , eneo la Newton Falls, inasema walijua utambulisho wa mgeni wao dakika 20 kabla ya kuwasili ijumaa.
Bwana Zuckerberg anazuru majimbo yote 50 ya Marekani na amewataka wafanyikazi wake kutafuta wanachama wa Democrat waliompigia kura rais Donald Trump.
Anakisiwa kuwa na mpango wa kuwania urais wa Marekani.
Familia hiyo inasema bwana Zuckerberg alikuwa mtu mtulivu sana.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: