Muhalifu wa kivita raia wa Austria akamatwa Poland


  • 1 Mei 2017
Alikuwa miongoni mwa waliotafutwa kwa uhalifu wa kivita nchini Ukraine
 Alikuwa miongoni mwa waliotafutwa kwa uhalifu wa kivita nchini Ukraine
Raia mmoja wa Austria amekamatwa nchini Poland kwa tuhuma za kufanya uhalifu wa kivita Mashariki mwa Ukraine wakati akiwa anapigana kwa ajili ya serikali ya Ukraine.
Waendesha mashtaka nchini Austria wanasema kuwa kijana huyo wa miaka 25 anatuhumiwa kwa kuwaua waasi ambao walipaswa kujisalimisha katika uwanja wa ndege wa Donetsk pamoja na wananchi wasiokuwa na hatia.
Alikamatwa Mashariki mwa nchi ya Poland katika mpaka wa Dorohusk akijaribu kuingia nchini Ukraine.
 Mshirikishe Mwenzako: zakacheka.blogspot.com/ www.zakacheka.simplesite.com +255 625966236
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: