Matteo Renzi arejea katika siasa za Italia

  • 1 Mei 2017

Matteo Renzi amekuwa waziri mkuu wa Italia tokea mwaka 2014-2016
 Matteo Renzi amekuwa waziri mkuu wa Italia tokea mwaka 2014-2016

Waziri mkuu wa zamani wa Italia Matteo Renzi, anajaribu kurudi katika siasa kwa mara nyingine kutafuta uongozi katika chama cha Democratic Party.
Taarifa kutoka vyombo vya habari nchini Italia vinasema kuwa ameshinda kwa zaidi ya asilimia 70 ya kura dhidi ya wapinzani wake ambao ni waziri wa sheria Andrea Orlando na mwanasiasa mkongwe Michele Emiliano.
Matokeo rasmi yanatarajiwa baadae.
Renzi alijiuzulu kama waziri mkuu na baadae kiongozi wa chama chake baada ya kushindwa kufanikisha mchakato wa mabadiliko ya katika mwezi Disemba.
 Mshirikishe Mwenzako: zakacheka.blogspot.com/ www.zakacheka.simplesite.com +255 625966236

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: