Maandamano yasababisha vifo Venezuela


11 Mei 2017

Waandamanaji Venezuela


Waandamanaji Venezuela
Haki miliki ya pic
Watu wengine wawili wameuawa katika siku nyingine ya maandamano ya kupinga Serikali nchini Venezuela, ambapo watu waliofariki kwa mwezi uliopita kufika 40.
Waandamanaji wachanga katika mji wa Caracas waliwatupia wanajeshi chupa na kinyesi cha wanadamu huku maafisa wa usalama wakiwapuliza na gesi ya kutoa machozi na kuwamwagia maji kutoka magari makubwa maalumu ya kuzima ghasia.
Wakati maandamano hayo yakienmdelea, wanaounga mkono serikali nao pia walifanya yao, wakicheza Salsa na kuonesha picha ya aliyekuwa kiongozi wa nchi hiyo Hugo Chavez.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: