Temer apewa saa 24 kuijibu polisi tuhuma za rushwa zinazomkabili


31 Mei 2017

Temer aliingia madarakani mwaka 2016
Temer aliingia madarakani mwaka 2016
Mahakama kuu nchini Brazil imetoa saa 24 kwa Rais wa nchi hiyo Michel Temer kuijibu polisi juu ya maswali muhimu yahusuyo yeye kuhusika katika rushwa ,jambo linalotishia maisha yake ya siasa.
Tuhuma hizo zinahusisha kampuni kubwa ya usindikaji nyama ,JBS, kuwa Temer alipokea kiasi kikubwa cha fedha kama rushwa.
Temer amepinga tuhuma hizo na kusema kuwa hatojiuzulu.
Tiyari baadhi ya vyama vya siasa vimejiondoa katika muunganiko wa serikali ya Temer.

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: