Vifo vya watoto na Wajawazito vyazidi kuongezeka Venezuela


10 Mei 2017

Wanawake wa Venezuela
Haki miliki ya picha
Wanawake wa Venezuela
Kumetokea ongezeko kubwa la watoto na akina mama wanaofariki nchini Venezuela.
Wizara ya Afya imesema kuwa idadi ya wanawake wanaofariki wakati wa kujifungua imeongezeka kwa asilimia 65 na idadi ya watoto wanaofariki wanapozaliwa imefikia asilimia 30.
Kumekuwa na ongezeko pia la magoinjwa kama vile malaria na Donda koo.
Venezuela imekuwa ikikabiliwa na uhaba mkubwa wa takriban dawa zote
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: