Jaji aliyekuwa mafichoni amekamatwa na kufungwa


21 Juni 2017

Jaji afungwa kwa kukaidi agizo la mahakama
Jaji CS Karnan
Haki miliki ya
Jaji CS Karnan alikuwa jaji wa kwanza wa mahakama kuu nchini India kukabiliwa na kifungo.
Alikamatwa katika jimbo la kusini la India Tamil Nadu siku ya Jumanne usiku.
Alihukumiwa kifungo mjini Kolkata huku ombi lake la kumwachilia kwa dhamana siku ya Jumatano likikataliwa na mahakamu ya juu zaidi .
Jaji huyo wa zamani alipatikana na hatia ya kutoa madai dhidi ya majaji wenzake.
Alihukumiwa kwa kukaidi agizi la mahakama na mahakama ya juu zaidi baada ya kutuma barua kwa waziri mkuu Narendra Modi ambapo alimtaka kuwachukulia hatua majaji wenzake.
Alipokonywa nguvu zake kama jaji mnamo mwezi Februari.

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: