Wanaume 4 watoroka jela kupitia njia ya ardhini Indonesia


19 Juni 2017

The four men escaped by digging a tunnel from the prison clinic to an outside wall.
Wanaume hao wanaaminiwa kuitoroka jela kupitia njia ya chini ya radhi
Polisi nchini Indonesia wanawatafuta wanaumume wanne raia wa kigeni ambao walitoroka jela mjini Bali wakitumia njia ya chini ya ardhi.
Wanaume hao walitambliwa kama Shaun Edward Davidson kutoka Australia, Dimitar Nikolov raia Bulgaria, Raia wa India Sayed Muhammad na raia wa Malaysia Tee Kok King.
Mkuu wa jela la Kerokoban alisema anaamini wanaume hao bado wako kisiwani humo.
Photographs showing the four escaped prisoners
Picha na wanaume hao zimesambwazwa kote nchini Bali
Magereza nchini Indonesia hukumbana na watu wengi wanaukamatwa kwa ulanguzi wa madawa ya kulevya na visa vya kutoroka jela ni vingi.
Wanaume hao wanaaminiwa kuitoroka jela kupitia njia ya chini ya radhi
Ilibanika kuwa watu hao hawakuwepo Jumatatu wakati ya ukaguzi wa kawaida.

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: