Marais wa Marekani na Korea Kusini wazungumza

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM

Zachary Bequeker +255 625 966
7 Agosti 2017

Korea
Rais wa Marekani Donald Trump na rais wa Korea Kusini wamezunguzma kwa njia ya simu kwa mara ya kwanza suala kuu likiwa ni majaribio ya hivi karibuni ya sialaha za nyuklia za Korea Kaskakazini.
Trump amedhihirisha furaha yake alivutiwa na umoja wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wakati lilipounga mkono vikwazo vipya dhidi ya Pyongyang.
Taarifa zaidi zinaeleza kuwa waziri mkuu wa Korea Korea Kaskazini naye amefanya mazungumzo na waziri mwenziwe kutoka Korea Kusini kwenye mkutano wa masuala ya usalama nchini Philippines, na kunukuliwa akisema Souls imetoa nafasi nyingine ya mazungumzo mapya.
Nijuze habari kwa 0625 966 236
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: