Raia wa Kenya walioko Tanzania wapiga kura

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM


Zachary Bequeker 0625 966 236
8 Agosti 2017


Raia wa Kenya walioko Tanzania wamekuwa wakijitokeza kwa mafungu katika ofisi za ubalozi wao kwa ajili ya kupiga kura huku baadhi wakisifu mpangilio mzuri uliowekwa.
Ingawa kituo cha upigaji kura kilifunguliwa tangu saa moja asubuhi, lakini wengi wao walianza kumiminika kuanzia saa mbili asubuhi. Hii ni mara ya pili kwa raia wa Kenya walioko nje ya nchi kupiga kura.
Kabla ya kuingia kwenye eneo la upigaji kura,raia hao hukagua majina yao na kisha kuelekea kwenye mstari.
Kumekuwa na hali ya utulivu huku askari polisi wakipita huku na kule kuimarisha ulinzi.
Nijuze habari kwa 0625 966 236
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: