AL-SHABAB WASHAMBULIA MJI WA 'EL WAK' KARIBU NA MPAKA WA KENYA

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM

17 Sep 2017

Wapiganaji wa al-Shabab nchini Somalia

Wapiganaji wa al-Shabab nchini Somalia
Kundi la wapiganaji wa Somalia, al Shabaab, limeshambulia mji wa El Wak, karibu na mpaka wa Kenya.
Wapiganaji hao waliingia mjini humo, bila kupata pingamizi yoyote, na kuharibu makao makuu ya serikali ya eneo hilo pamoja na kituo cha polisi.
Hapo awali, wanajeshi wa serikali ya Somalia, walikimbilia Kenya.
Wakuu wa El Wak wanasema al-Shabaab waliwaonya mapema, wakaazi wa El Wak, wasishirikiane na jeshi la Somalia na kikosi cha kuweka amani cha Umoja wa Afrika, (AMISOM).
Waliiba msaada wa vyakula, na kuondoka El Wak baada ya saa chache.

TUFUATE FACEBOOK@ZAKACHEKA.HABARI




Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: