ANGOLA:RAIS MPYA, JOAO LOURENCO AAPISHWA

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM
26 Sep 2017Joao Lourenco alikula kiapo baada ya chama tawala cha MPLA kushinda uchaguzi.

Joao Lourenco alikula kiapo baada ya chama tawala cha MPLA kushinda uchaguzi.

Rais mpya wa Angola ameapishwa katika sherehe zilizofanyika kwenye mji mkuu Luanda.
Joao Lourenco alikula kiapo baada ya chama tawala cha MPLA kushinda uchaguzi.
Bw. Lourenco, ambaye ni waziri wa zamani wa usalama anachukua mahala pa Jose Eduardo Dos Santos, ambaye aliondoka madarakani baada ya kuiongzoa nchi kwa miaka 38.
Bwana Dos Santos atakuwa na ushawishi kwenye chama akiwa na haki ya kumteua mkuu wa polisi pamoja na mkuu wa majeshi.Joao Lourenco alikula kiapo baada ya chama tawala cha MPLA kushinda uchaguzi.
Joao Lourenco alikula kiapo baada ya chama tawala cha MPLA kushinda uchaguzi.

Wakosoaji wanasema watoto wake, akiwemeo mwanamke tajiri zaidi barani Afrika, Isabel Dos Santos wamepewa nyadhifa za kudhibiti uchumi.
Licha ya Angola kuwa na utajiri wa mafuta, bado kuna mwanya mkubwa.
Chama cha MPLA kimeitawala Angola tangu ipate uhuru wake kutoka Ureno mwaka 1975.

MTUFUATE FACEBOOK:ZAKACHEKA.HABARI

Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: