Museveni: Kujiepusha na pombe kumechangia maisha marefu

ZAKACHEKA.BLOGSPOT.COM=>
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amefichua kwamba huwa hanywi pombe na kusema hilo limechangia maisha yake marefu.
Museveni, 73, ameandika kwenye Twitter kwamba uamuzi wake huo umemkinga dhidi ya maradhi na kusema kwamba hana "muda wowote wa magonjwa".
Wabunge nchini Uganda kwa sasa wanajadili mswada ambao unaondoa kikomo kwenye umri wa rais, ambacho kwa sasa ni miaka 75.
Sheria isipofanyiwa marekebisho na kikomo hicho kuondolewa, Bw Museveni hawezi kuruhusiwa kuwania kwa muhula wa sita uchaguzi wa mwaka 2021.
•Tuma habari picha na video za matukio mbalimbali WhatsApp kwa 0625966236
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: