Mshauri wa Trump kuachia ngazi


  • 2 Mei 2017
Gorka ataondoka siku chache zijazo
Image captionGorka ataondoka siku chache zijazo
Taarifa kutoka Washington zinasema kuwa mmoja wa washauri muhimu sana wa Rais Donald Trump Sebastian Gorka anatarajia kujiuzulu nafasi hiyo.
Gorka mjuzi wa masuala ya usalama wa taifa anashutumiwa kuvaa medali aliyozawadiwa na kikundi kimoja kutoka nchini Hungary ambacho kina uhusiano na mfumo wa Kinazi.
Kabla ya kufanya kazi na Trump, Gorka alikuwa mhariri wa tovuti iitwayo Breitbart.
 Mshirikishe Mwenzako: zakacheka.blogspot.com/ www.zakacheka.simplesite.com +255 625966236
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: