Polisi waliowauwa watu weusi Marekani kutoshtakiwa


  • 3 Mei 2017
Eneo la kumbukumbu la watu weusi waliouawa ncini Marekani kwa kupigwa risasi na polisi wazungu bila hatia
Eneo la kumbukumbu la watu weusi waliouawa ncini Marekani kwa kupigwa risasi na polisi wazungu bila hatia
Idara ya sheria Marekani inaarifiwa kuamua kutowashtaki maafisa wawili wa polisi waliompiga risasi na kumuua mwanamume mweusi huko Louisiana mwaka jana.
Kanda ya video inaonekana kuwaonyesha maafisa hao wazungu wakimzuia chini Alton Sterling walipofyatua risasi, hatua iliozua maandamano ya siku kadhaa huko Baton Rouge.
Misa ya kumbukumbu inafanyika katika eneo alipouawa.
Afisa mwingine wa polisi mzungu nchini Marekani aliyepigwa picha akimpiga risasi mgongoni mwanamume mweusi ambaye hakujihami miaka miwili iliyopita amekiri makosa ya ukiukaji wa haki za raia.
Huenda afisa Michael Slager akahukumiwa maisha gerezani kwa kumuua Walter Scott.
Share on Google Plus

ABOUT BLOGGER INJILI HALISI MINISTRY

Hi! I am Zachary John Bequeker, from Mwanza Tanzania, East Africa.I'm a blogger of ZAKACHEKA NEWS LINE And ZAKKACHEKA INJILI.Contact me +255 625966236 / +255 758590489 or mail on zacharybequeker@gmail.com . Thanks!!!

0 Post a Comment: